iqna

IQNA

al wifaq
Waislamu wa Bahrain
TEHRAN (IQNA)- Kukamatwa Sheikh Muhammad S'anqur, Alimu mashuhuri, Khatibu na Imamu wa Sala ya Ijumaa wa Msikiti wa Imam Sadiq (AS) ulioko katika kitongoji cha Al-Diraz nchini Bahrain kumeibua moto wa hasira za umma wa Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3477043    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/25

Utawala wa Kifalme Bahrain umekivunja chama cha Kiislamu cha al-Wefaq ambacho ndio chama kikuu cha upinzani nchini humo.
Habari ID: 3470461    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/18